al-Qaeda القاعدة | |
---|---|
![]() Bendera ya Al-Qaeda. | |
Dates of operation | 1988–sasa |
Leader | Ayman al-Zawahiri |
Active region(s) | Dunia |
Ideology | Kiislamu Islamic fundamentalism Sunni Islam[1] Pan-Islamism Salafi Qutbism |
Status | Designated as Foreign Terrorist Organization by the U.S. State Department[2] Designated as Proscribed Group by the UK Home Office[3] Designated as terrorist group by EU Common Foreign and Security Policy[4] |
Al-Qaeda (pengine imeandikwa al-Qaida; kutoka Kiarabu al-qa'idah, "msingi") ni kundi la Kiislamu lililoanzishwa kati ya Agosti 1988 [5] na mwanzoni mwa 1990. [6]
Ni mtandao wa kimataifa usiotegemea taifa fulani[7] na kundi la wanaharakati wa Sunni wanaotoa wito wa jihad kwa ulimwengu mzima.
Al-Qaeda imeweza kushambulia raia na malengo ya kijeshi katika nchi mbalimbali, mashuhuri zaidi ikiwa mashambulio ya 11 Septemba 2001. Serikali ya Marekani iliitikia kwa kuzindua Vita dhidi ya Ugaidi. Kati ya wanachama 3,000 na 4,000 wa mtandao huu wamekamatwa, na maelfu zaidi kuuawa vitani Afghanistan.
Mbinu zao za kushambulia ni pamoja na mashambulizi ya kujitolea mhanga na ulipuaji wa mabomu ya malengo tofauti kwa wakati mmoja. [8] Shughuli zake zinaweza kuhusisha wanachama wa harakati, ambao wamechukua amana ya uaminifu kwa kiongozi (sasa Mmisri Ayman al-Zawahiri), au wengi zaidi "watu binafsi wanaohusishwa na al-Qaeda" ambao wamepitia mafunzo katika moja ya kambi zake nchini Afghanistan au Sudan, bila kuchukuliwa amana yoyote. [9]
Wakereketwa wa Al-Qaeda wanaangazia kukatiza kabisa mvuto wa kigeni katika nchi za Kiislamu, na uumbaji wa ahmadiyya mpya ya Kiislamu. Imani ambazo zimeripotiwa ni pamoja na kuwa muungano wa Wakristo na Wayahudi unakusudia kuharibu Uislamu, [10] na kwamba mauaji ya raia wanaopatikana pahali pa mashambulizi yanakubalika katika jihad.
Usimamizi wake falsafa umeelezewa kama "umoja wa uamuzi na madaraka ya utekelezaji mikoani." [11] Kufuatia vita dhidi ya ugaidi, imedhaniwa kwamba uongozi wa al-Qaida "umegawanyika kijiografia", na hili limepelekea "kuibuka kwa uongozi uliogawanywa kikanda" wa makundi yanayotumia jina la al-Qaeda.
{{cite journal}}
: Cite journal requires |journal=
(help); Missing or empty |title=
(help); Unknown parameter |kichwa=
ignored (help); Unknown parameter |kurasa=
ignored (help); Unknown parameter |kwanza=
ignored (help); Unknown parameter |nakala=
ignored (help); Unknown parameter |tarehe=
ignored (help); Unknown parameter |toleo=
ignored (help) © MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search